JIONEE HAPA MABILIONEA 25 WANAOONGOZA KWA UTAJIRI BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2017:-
Kwa utafiti uliofanywa mwaka 2017 unaonyesha hawa hapa ndio mabilionea 25 wanaoongoza kwa utajiri barani afrika tazama mtiririko wao ulivyopangwa na utajiri walionao,
1. Aliko Dangote, Nigeria
utajiri wake $ 12.2 bilioni
2. Nicky oppenheimer, Afrika kusini
utajiri wake $ 7 bilioni
3. Johann Rupert , Afrika kusini
utajiri wake $ 6.3 bilioni
4. Nassef Sawiris, Misri
utajiri wake $ 6.2 bilioni
5. Mike Adenuga, Nigeria
utajiri wake $ 6.1 bilioni
6. Christofel Wiese, Afrika Kusini
utajiri wake $ 5.9 bilioni
7. Nathan Kirsch, Swaziland
utajiri wake $ 3.9 bilioni
8.Naguib Sawiris, Misri
utjiri wake $ 3.8 bilioni
9. Isabel Dos Santos, Angola
utajiri wake $ 3.1 bilioni
10. Issad Rebrab, Algeria
utajiri wake $ 3 bilioni
11. Mohamed Mansour, Misri
utajiri wake $ 2.7 bilioni
12. Koos bekker, Afrika Kusini
utajiri wake $ 2.1 bilioni
13. Allan Gray, Afrika Kusini
utajiri wake $ 1.99 bilioni
14. Othman Benjelloun, Morocco
utajiri wake $ 1.9 bilioni
15. Mohamed Al Fayed, Misri
utajiri wake $ 1.82 bilioni
16. Patrice Motsepe, Afrika Kusini
utajiri wake $ 1.81 bilioni
17. Yasseen Mansour, Misri
utajiri wake $ 1.76 bilioni
18.Folorunsho Alakija, Nigeria
utajiri wake $ 1.61 bilioni
19. Aziz Akhannouch, Mrocco
utajiri wake $ 1.58 bilioni
20. Mohamed Dewji, Tanzania
utajiri wake $ 1.4 bilioni
21. Stephen Saad, Afrika Kusini
utajiri wake $ 1.21 bilioni
22. Youssef Mansour, Misri
utajiri wake $ 1.15 bilioni
23. Onsi Sawiris, Misri
utajiri wake $ 1.14 bilioni
24. Anas Sefrioui, Misri
utajiri wake $ 1.06 bilioni
25. Jannie Mounton, Afrika Kusini
utajiri wake $ 1 bilioni
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni