Haya hapa magazeti ya leo tarehe 29-03-2017 Jumaatano
Jumatano, 29 Machi 2017
Jumanne, 28 Machi 2017
KUZAMA KWA FERI BANGLADESH
Watu watatu walikufa na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya feri ambayo ilikuwa na msongamano kuzama mtoni katika wilaya ya Bagerhat nchini Bangladesh Jumaanne, Afisa wa polisi alisema miili ya wanawake watatu imepatikana huku juhudi za kutafuta waathirika wengine zikiendelea.
( picha kwa hisani ya The Express Tribune )Jumatatu, 20 Machi 2017
UBUNIFU
Jumamosi, 18 Machi 2017
NDEGE ZAGONGANA NCHINI CANADA
Ndege mbili zimegongana zilipokuwa katika anga ya eneo moja la shughuli nyingi za kibiashara huko nchini Canada, Rubani mmoja amefariki na mwingine kujeruhiwa vibaya sana, Polisi wanasema hata hivyo ni miujiza kwamba hakuna mtu mwingine yeyote aliye jeruhiwa licha ya ndege moja ya hizo kuanguka juu ya paa la mojawapo ya maduka makubwa ya eneo hilo nje kidogo mwa mji wa Montreal, Ndege zote ni aina ya Cessnas kutoka shule moja ya urubani, Hali mbaya ya hewa inadhaniwa kusababisha ajali hiyo.