Ijumaa, 8 Juni 2018

ADEN RANGE MARWA WA KENYA ATOLEWA KOMBE LA DUNIA

Refarii wa Kenya Aden Range Marwa ameondolewa kuchezesha mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi kwa madai ya rushwa. Marwa ni miongoni mwa watuhumiwa wengine wapatao 100 walionaswa katika mkanda wa video na mwandishi wa Ghana Anas Aremeyaw Anas wakipokea rushwa.

huyu refalii wa kenya Aden

KUTOKA BURUNDI

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesema hatogombea tena katika uchaguzi wa 2020 na ameahidi kumuunga mkono atakayeteuliwa kugombea urais. Kauli hiyo ameitoa leo wakati akisaini marekebisho ya katiba yanayoweza kumruhusu kubakia madarakani hadi 2034.