Jumanne, 28 Machi 2017

KUZAMA KWA FERI BANGLADESH

Watu watatu walikufa na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya feri ambayo ilikuwa na msongamano kuzama mtoni katika wilaya ya Bagerhat nchini Bangladesh Jumaanne,                                                                         Afisa wa polisi alisema miili ya wanawake watatu imepatikana huku juhudi za kutafuta waathirika wengine zikiendelea.

( picha kwa hisani ya The Express Tribune )

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni