Ijumaa, 8 Juni 2018

KUTOKA BURUNDI

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amesema hatogombea tena katika uchaguzi wa 2020 na ameahidi kumuunga mkono atakayeteuliwa kugombea urais. Kauli hiyo ameitoa leo wakati akisaini marekebisho ya katiba yanayoweza kumruhusu kubakia madarakani hadi 2034.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni