Ijumaa, 8 Juni 2018

ADEN RANGE MARWA WA KENYA ATOLEWA KOMBE LA DUNIA

Refarii wa Kenya Aden Range Marwa ameondolewa kuchezesha mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi kwa madai ya rushwa. Marwa ni miongoni mwa watuhumiwa wengine wapatao 100 walionaswa katika mkanda wa video na mwandishi wa Ghana Anas Aremeyaw Anas wakipokea rushwa.

huyu refalii wa kenya Aden

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni