Jumatatu, 16 Januari 2017

MABILIONEA NANE WANAO ONGOZA KWA UTAJIRI DUNIANI

Utafiti uliofanywa mwezi mach mwaka 2016, umeonyesha kuwa hawa ndio mabilionea nane wakubwa wanaoongoza Duniani,                                                        1. Bill Gattes (Us) Huyu ndie namba moja akiwa na utajiri wa ($75bn)                                             2. Amancio Ortega (Spain)  Huyu alishikilia nafasi ya pili akiwa na utajiri wa ($67bn)                           3. Warren Buffet (Us)  Huyu alikuwa nafasi ya tatu akiwa na utajiri wa ($60.8bn)                         4. Carlos Slim Helu (Mexico)  Huyu alikuwa nafasi ya nne akiwa na utajiri wa ($50bn)                         5. Jeff Bezos (Us)  Huyu alikuwa nafasi ya tano akiwa na utajiri wa ($45.2bn)                                        6. Mark zuckerberg (Us) Huyu alikuwa nafasi ya sita akiwa na utajiri wa ($44.6bn)                          7. Larry Ellison (Us) Huyu alikuwa nafasi ya saba akiwa na utajiri wa ($43.6bn)                                            8. Michael Bloomberg (Us) na huyu alikuwa nafasi ya nane akiwa na utajiri wa ($40bn)   tazama picha zao hapa->>>>

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni