Utafiti uliofanywa mwezi mach mwaka 2016, umeonyesha kuwa hawa ndio mabilionea nane wakubwa wanaoongoza Duniani, 1. Bill Gattes (Us) Huyu ndie namba moja akiwa na utajiri wa ($75bn) 2. Amancio Ortega (Spain) Huyu alishikilia nafasi ya pili akiwa na utajiri wa ($67bn) 3. Warren Buffet (Us) Huyu alikuwa nafasi ya tatu akiwa na utajiri wa ($60.8bn) 4. Carlos Slim Helu (Mexico) Huyu alikuwa nafasi ya nne akiwa na utajiri wa ($50bn) 5. Jeff Bezos (Us) Huyu alikuwa nafasi ya tano akiwa na utajiri wa ($45.2bn) 6. Mark zuckerberg (Us) Huyu alikuwa nafasi ya sita akiwa na utajiri wa ($44.6bn) 7. Larry Ellison (Us) Huyu alikuwa nafasi ya saba akiwa na utajiri wa ($43.6bn) 8. Michael Bloomberg (Us) na huyu alikuwa nafasi ya nane akiwa na utajiri wa ($40bn) tazama picha zao hapa->>>>
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni