Jumapili, 29 Januari 2017

WACHIMBAJI MADINI WALIOFUKIWA WAKUTWA HAI

Wachimbaji 15 wa madini katika mgodi wa RZ mkoani Geita wamepatikana wakiwa hai baada ya waokoaji kufanya juhudi mbalimbali za kuwaokoa baada ya kufukiwa na kifusi kwenye mgodi huo

Tazama baadhi ya picha hapa.>>>

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni